Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 4, 2010

DK. BILAL AUNGURUMA KISIWA CHA MAFIA


Katibu Mwenezi Mstaafu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam ambaye alikamatwa kwa kosa la utapeli wa wizi wa magari na kujihuzuri wadhifa huo,Bw. Haji Manara akizungumza jukwaani ikiwa ni sehemu ya utangulizi kabla ya kupanda Mgombea Mwenza Dk Bilal wakati wa mkutano huo wa kampeni.
Wananchi Wilaya ya Mafia eneo la Kilindoni Mkoa wa Pwani wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Visiwani humo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...