Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 7, 2010

KAPUMZIKE KWA AMANI DADA LETICIA


Mwili wa Marehemu Leticia Kaijage aliyekuwa Ofisa Habari wa ZK Advertising Agency umeagwa leo nyumbani kwao Tabata Kinyerezi saa tatu asubuhi na kusafirishwa kwenda Bukoba kwa maziko yanayotarajiwa kufanyika kesho. ndugu na jamaa wa marehemu walijitokeza kwa wingi katika ibada ya kumuaga marehemu.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi-AMEN

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...