Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 3, 2010

MFANYAKAZI WA UHURU AMUOA WA DAILYNEWS


MENEJA Matangazo wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd (UPL), wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Brighton Kilinga, akimbusu mke wake, Martha Mtangoo, baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Kijitonyama, Dar es Salaam, leo. Mke ni mfanyakazi wa Tanzania Standard Newspaer, wachapishaji wa magazeti ya Daily News, Sunday News na Habari Leo, kituo cha Dodoma. Wakati Mume ni Mzaliwa wa mkoa wa Kagera, mkewe Dodoma. burudan Blog inawatakia maisha amema na marefu katika ndoa yao.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...