Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, October 1, 2010

TIGO YAPATA HADHI YA JUU KWA BIDHAA BORA NAMBA MOJA KWA KAMPUNI ZA SIMU TANZANIAA


Ofisa Mkuu wa Masoko wa Tigo Bw, Luis Padilla akiwa na Ofisa Uhusiano wa Tigo Tanzania Bw,Jakson Mmbando kwenye pozi la Tigo Superbrand wakiwa pia wamenyanyua juuu tuzo waliokabidhiwa na Mkurugenzi wa Ukanda wa Afrika Mashariki Miradi ya Superbrands Bwana Jawad Jaffer.
Mkurugenzi wa Ukanda wa Afrika Mashariki Miradi ya Superbrands Bwana Jawad Jaffer akizungumza leo asubuhi ndani ya moja ya ukumbi wa mikutano wa hotel ya Kempisk, kuhusiana na makabidhiano ya tuzo ya Super Brands kwa kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo, ambayo imefanya vizuri na kuibuka bidhaa bora kuliko zote kwenye kipengele cha kampuni zinazotoa huduma za mawasiliano nchini Tanzania.kulia ni Mmoja wa wakurugenzi wa taasisi ya SuperBrands Bw.Herman Shadeya,wa tatu ni Afisa Mkuu wa Masoko wa Tigo Bw, Luis Padilla pamoja fisa Uhusiano wa Tigo Tanzania Bw,Jakson Mmbando.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...