Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, April 4, 2014

FILAMU YA JICHO LANGU SASA IKO MADUKANI.




Ile siku tuliyokuwa tukisuribi sana sasa imefika, hatimaye filamu ya JICHO LANGU imetoka siku ya leo. Sasa unaweza kujisogeza taratibu madukani kujipatia nakala yako. Usisubiri wenzako waangalie ndipo usimuliwe, wewe unatakiwa kuwa wa kwanza kuwasimulia wenzanko juu ya kile utakachokiona katika filamu hii ambayo Watanzania wengi na wana Afrika Mashariki  wamekuwa wakiisubiri kwa hamu sana.

Kama ulikuwa hujui, filamu hii imetengenezwa na kampuni ya J-FILM 4 LIFE  kwa viwango vya kimataifa, hasa ukiangalia color, sound na wahusika waliocheza katika filamu hii. Ujumbe uliomo hakika unafaa kabisa katika jamii yetu inayotuzunguka. Utaweza kumuona Odama akifanya yake katika filamu pamoja na wasanii wengi maarufu ambao umewasikia. Usipange kuikosa filamu hii maana imefunika mbaya.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...