Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 30, 2014

SMILEON KUWEZESHA WATEJA WAKE KUWA HEWANI MTANDAONI PALE KIFURUSHI CHA INTANET KINAPOKWISHA

Baadhi ya mahofisa wa Smile wakiwa na furaha uku wameshikili vipeperushi vinavyo onesha kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intanet kinapoisha
Mkuu wa Masoko wa Kampuni Smile Bi, Linda Chiza kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya SimelON kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intaneti kinapokwisha kushoto ni Head of Operational Efficiency and Compliance Bw. Athumani Nzowa
Mkuu wa Masoko wa Kampuni Smile Bi, Linda Chiza kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya SimelON kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intaneti kinapokwisha kushoto ni Head of Operational Efficiency and Compliance Bw. Athumani Nzowa na kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo wa Smile Edgar Mapunde



Baadhi ya waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini  maofisa wa Smile





No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...