Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, October 4, 2014

NDANDA YAFUGWA GOLI 2 KWA 1 NA COASTAL KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA

Mchezaji wa Ndanda Gideon Benson akiangalia ampasie nani mpira wakati wa mechi yao na coastal union mpambano uliofanyika katika uwanja wa mkwakwani Tanga Coastal ilishinda 2.1

 Mchezaji wa timu ya Ndanda Nassoro Kapama akikimbilia mpira uliokufa kwa ajili ya kurusha nyuma ni Abdallah Mfuko wa timu ya Coastal union mchezo huo Ndanda walifungwa goli mbili kwa moja
Mchezaji wa Ndanda Gideon Benson  akitafuta mbinu ya kumtoka Mchezaji wa timu ya Coastal Union ya Tanga Rama Salim wakati wa mechi yao iliyofanyika jijini Tanga Coastal walishinda bao 2.1 Picha
Mashabiki wa Coastal wakiangalia mpira


Kocha wa timu ya Coastal Union ya TANGA AKIOJIWA
Mashabiki wa timu ya ndanda wakishindwa kuhamini macho yao ya kinachotokea baada ya kubugizwa bao 2.1 na coastal katika uwanja wa mkwakwani
Shabiki wa ndanda aliyejitambulisha kwa jina la Kadio Rashidi akiwa amejichola chola mgongoni
Raia wa kigeni kutoka mataifa mbalimbali wakifatilia mpambano wa Ndanda na Coastal uliokuwa ukipigwa katika uwanja wa mkwakwani Tanga Costal ilishinda 2.1

Raia wa kigeni kutoka mataifa mbalimbali wakifatilia mpambano wa Ndanda na Coastal uliokuwa ukipigwa katika uwanja wa mkwakwani Tanga Costal ilishinda 2.1
SUPER D AKIWAKILISHA KATIKA MPAMBANO HUO

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...