Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 19, 2014

TAMASHA LA FIESTA LAFUNIKA DAR, WAKAZI WA JIJI LA DAR WAJITOKEZA KWA WINGI


Msanii kutoka Nchini Marekani T.I akitoa burudani kwa wakazi wa Jiji la Dar Katika Show ya FIesta iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Leaders.
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria Akiwajibika
Diamond Platnumz akitoa burudani
 Vanessa Mdee
 Dimpoz kwa pozi
 Ommy Dimpoz
 Mashabiki
 Banana
 Young Killa
 Waje kutoka NIgeria
 Mashabiki wakishangweka
 Victoria Kimani akiwajibika
 Rachel Kazini
 Rachel na wakata mauno wake.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI»

 Barnaba
 Shaa na steji shoo wake wakiwajibika
Shaa akikata mauno
Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...