Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, October 2, 2015

Tigo yatoa mchango wa madawati 700 kwa shule za umma mkoani Mbeya

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Tigo nchini, Diego Gutierrez, (kushoto) akimkabidhi madawati yaliyotolewa na kampuni hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, Tigo imetoa msaada wa madawati 700 yenye thamani ya 49 milioni kwa shule za msingi za wilaya za Rungwe, Mbozi na Mbeya Mjini.


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, (kulia) akimkabidhi madawati Ofisa Elimu Shule za Msingi Jiji la Mbeya, Deusdedit Bimbalirwa, baada ya kukabidhiwa msaada wa madawati 700 yenye thamani ya Sh49milioni kutoka Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo leo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...