Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, November 7, 2015

SPORTS LADY ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA HAHITIMU SHULE YA MSINGI SASA KWENDA SEKONDARI


SPORTS LADY ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia bint yake sports lady Zainabu Mhamila 'Ikota' madaftal makubwa kwa ajili ya kwenda kidato cha kwanza wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam

Zainabu Ikota Mhamila akipokea zawadi kutoka kwa dada yake Sada Swedy wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto dar es salaam katikati ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa na baba yake Rajabu Mhamila ;super d

Asha Kamnyanga 'mama Ikota' kushoto akimpatias zawadi bint yake Zainabu Mhamila ' Ikota' wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam katikasti ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa

Asha Kamnyanga 'mama Ikota' kushoto akimpatias zawadi bint yake Zainabu Mhamila ' Ikota' wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam katikasti ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa
Zainabu Mhamila 'Ikota' akimlisha keki Mama yake Asha Kamnyanga 'Mama Ikota' wakati wa Mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam anaeshudia katikati ni dada yake Sada Swedy



Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi msimbazi mseto wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mahafari ya 22 ya shele hiyo
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu mhamila wa pili kushoto akiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam wakati wa mahafali ya 22 ya shele hiyo
ZAINABU MHAMILA 'IKOTA' NA RAJABU MHAMILA 'SUPER D' WAKIWA MBELE YA SHULE YA MSINGI MSIMBAZI MSETO DAR ES SALAAM

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...